Jeremiah 6:28-30


28 aWote ni waasi sugu,
wakienda huku na huko kusengenya.
Wao ni shaba na chuma,
wote wanatenda upotovu.

29 Mivuo inavuma kwa nguvu,
kinachoungua kwa huo moto ni risasi,
lakini pamoja na kusafisha kote huku ni bure;
waovu hawaondolewi.

30 bWanaitwa fedha iliyokataliwa,
kwa sababu Bwana amewakataa.”
Copyright information for SwhKC